Tuesday, August 15, 2017

JINSI YA KUFICHA VITU VYAKO (DATA) KWENYE PC ILI VISIONEKANE NA MTU MWINGINE.

Wote  tunajua  maana  ya   Faragha  (privacy), Dunia  imebadilika  na kila  kitu  kinafanyika  kidigital,  ni  kama  vile  kuweka  kitu  benki,  isipokuwa  siku  hizi  kila  mtu  anamiliki  benki  yake  binafsi  ya  hard  drive  ya  kuhifadhia  vitu  vyake  muhimu  vyenye  thamani  zaidi  ya  pesa, Na  ili  kufanikisha  hilo  watu  wengi  duniani  hutumia  vifaa  vya  kidigitali  Mf.  Simu, computers, external  cases na  nk.

Leo  nitawaonesha  jinsi  ya  kufungia  data  zako  za  kwenye  computer  yako  ili  mtu  mwingine  asiweze  kuvifungua.  Ila  kabla  sijaanza  ningependa  kukushauri  kuwa   kama  kwenye  computer/laptop  yako  kuna  vitu  ambavyo  ni  binafsi  kwako  ni  vizuri  usiruhusu  kutumika  na  mtu  mwingine  yeyote  zaidi  yako  wewe  mwenyewe.  Ila  jua zoezi  hili  linawezekana  kufanyika  kwenye  computer  zenye  hard  disk  iliyo  na  partition zaid  ya  moja  au  mbili  pamoja  na  removable  storage.


CHAKUFANYA
1.      Washa  computer  yako  kisha  nenda  kwenye  control  panel, Baada  ya  hapo  fungua  system  and  security





Ukifungua  itaonekana  hivi




1.     2Nenda  sehemu  iliyoandikwa  Bitlocker


 3. Ukifungua  utakutana  na  Drive  Encryption ambapo  drive  zote  za  kwenye  PC  yako  zitakuwa  zimelist  hapo.




3
1.      4. Nenda  kwenye  moja  ya  drive  zako  kisha  “turn  on”


5.  Utaulizwa  jinsi  unavyotaka  kufungua  drive  zako.

OPTION ZIPO  MBILI  (PASSWORD AU  SMART CARD) CHAGUA  MOJA.

Kama  huna  smart  card  weka  tiki  kwenye  box  la  kwanza  la  use  a  password  to  ulock  derive




Kwawale  wanaotumia  smart  card  hakikisha  unaweka  smart  card  yako  kwanza  then  ndio  ubonyeze  next.






(weka tiki  kwenye  password)  kisha ingiza  namba  za  siri unaweza  changanya  maneno  na  namba  ilimradi  zianze herufi  au namba 8  na  kuendelea.



Baada  ya  hapo  utaulizwa  jinsi  kubackup  recovery  key kama itatokea  umesahau  password  yako


Chagua sehemu  yeyote  uionayo  ni  salama kwako.  Ila  kwa  mimi  ningekushauri  uisave  kwenye  file  lolote  ambalo  hutaliwekea  password (save  to  a file) MFANO UNALOCK LOCAL DISK E,  backup  note  weka  local disk  D
Ukimaliza  bonyeza  next





 


Chagua  option  yoyote  ili  encryption  ianze  (note  option ya  chini  ndio  nzuri  zaidi) ukimaliza  bonyeza  next


   Bonyeza  start  encryption  ianze


Encryption  inaweza  chukua  muda  mrefu  kutokana  na  ukubwa  wa  drive  yako.  Kwahiyo  inakubidi  uwe  na  subira

Ikimaliza  hapo  drive  yako  itakuwa  protected. Restart  mashine  yako  alafu  endelea.



 Asante  kwa  kusoma Blog  yangu  unaweza  pia  angalia  video  zangu  nyingine  kupitia  kwenye  youtube  channel  yangu  ya  GUALBERT  KASHASHA

No comments:

Post a Comment

MASWALI YANAYOWEZA KUULIZWA KWENYE INTERVIEW YA TRA MARCH 2025

  ANGALIZO Haya ni baadhi ya mawaswali  ambayo yanaweza yakatoka au yasitoke kutokana na ajira ulioiomba, hiyo unatakiwa kuyapitia na kuso...